Mathayo 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Kwa maana ufalme wa mbinguni ni kama mtu, mwenye nyumba, aliyetoka asubuhi na mapema kwenda kuajiri wafanyakazi kwa ajili ya shamba lake la mizabibu.+
20 “Kwa maana ufalme wa mbinguni ni kama mtu, mwenye nyumba, aliyetoka asubuhi na mapema kwenda kuajiri wafanyakazi kwa ajili ya shamba lake la mizabibu.+