Mathayo 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Simoni Mkananayo,+ na Yuda Iskariote, ambaye baadaye alimsaliti.+ Luka 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote, aliyegeuka kuwa msaliti.+