Marko 6:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye akawaambia: “Njooni, ninyi wenyewe, faraghani katika mahali pasipo na watu+ mpumzike kidogo.”+ Kwa maana watu walikuwa wakija na kwenda, nao hawakuwa hata na wakati wa kula mlo.+
31 Naye akawaambia: “Njooni, ninyi wenyewe, faraghani katika mahali pasipo na watu+ mpumzike kidogo.”+ Kwa maana watu walikuwa wakija na kwenda, nao hawakuwa hata na wakati wa kula mlo.+