Mathayo 12:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Alipokuwa bado akisema na umati, tazama! mama yake na ndugu zake+ wakaja na kusimama nje wakitaka kusema naye. Luka 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sasa mama yake na ndugu zake+ wakamjia, lakini hawakuweza kumfikia kwa sababu ya umati.+
46 Alipokuwa bado akisema na umati, tazama! mama yake na ndugu zake+ wakaja na kusimama nje wakitaka kusema naye.