Methali 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hekima ndilo jambo kuu. Jipatie hekima;+ na pamoja na vyote unavyojipatia, jipatie uelewaji.+ Mathayo 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo wanafunzi wakaja na kumwambia: “Kwa nini unasema nao kwa kutumia mifano?”+ Luka 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini wanafunzi wake wakaanza kumuuliza mfano huo ungeweza kuwa na maana gani.+