Methali 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtu mwenye hekima atasikiliza na kupata mafundisho zaidi,+ naye mtu mwenye uelewaji ndiye anayepata mwongozo stadi,+ Mathayo 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yule aliye na masikio na asikilize.+ Ufunuo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo roho+ inayaambia makutaniko: Yule ambaye atashinda+ nitampa ruhusa ya kula matunda kutokana na ule mti wa uzima,+ ulio katika paradiso ya Mungu.’
5 Mtu mwenye hekima atasikiliza na kupata mafundisho zaidi,+ naye mtu mwenye uelewaji ndiye anayepata mwongozo stadi,+
7 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo roho+ inayaambia makutaniko: Yule ambaye atashinda+ nitampa ruhusa ya kula matunda kutokana na ule mti wa uzima,+ ulio katika paradiso ya Mungu.’