Mathayo 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Siku sita baadaye Yesu aliwachukua Petro na Yakobo na Yohana ndugu yake akawapandisha katika mlima mrefu wakiwa peke yao.+ Mathayo 26:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Naye akawachukua Petro na wale wana wawili+ wa Zebedayo pamoja naye, akaanza kuhuzunika na kutaabika sana.+
17 Siku sita baadaye Yesu aliwachukua Petro na Yakobo na Yohana ndugu yake akawapandisha katika mlima mrefu wakiwa peke yao.+
37 Naye akawachukua Petro na wale wana wawili+ wa Zebedayo pamoja naye, akaanza kuhuzunika na kutaabika sana.+