35 Na Yesu akaondoka ili kutembelea majiji na vijiji vyote, akifundisha katika masinagogi yao na kuhubiri habari njema ya ufalme na kuponya kila namna ya magonjwa na kila namna ya udhaifu.+
23 Wakati wanapowatesa ninyi katika jiji moja, kimbilieni jiji lingine;+ kwa maana kwa kweli ninawaambia ninyi, Hamtamaliza kuyazunguka+ majiji ya Israeli mpaka Mwana wa binadamu atakapofika.+