Mathayo 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wakamwambia: “Hatuna kitu hapa ila mikate mitano na samaki wawili.”+ Luka 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini akawaambia: “Ninyi wapeni chakula.”+ Wakasema: “Sisi hatuna kitu zaidi ya mikate mitano na samaki wawili,+ isipokuwa labda sisi wenyewe twende na kununua vyakula kwa ajili ya watu wote hawa.”+ Yohana 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Hapa yupo mvulana mdogo ambaye ana mikate mitano ya shayiri+ na samaki wadogo wawili. Lakini vitu hivi ni nini kwa watu wengi sana hivi?”+
13 Lakini akawaambia: “Ninyi wapeni chakula.”+ Wakasema: “Sisi hatuna kitu zaidi ya mikate mitano na samaki wawili,+ isipokuwa labda sisi wenyewe twende na kununua vyakula kwa ajili ya watu wote hawa.”+
9 “Hapa yupo mvulana mdogo ambaye ana mikate mitano ya shayiri+ na samaki wadogo wawili. Lakini vitu hivi ni nini kwa watu wengi sana hivi?”+