Mathayo 14:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo wote wakala wakashiba, nao wakaokota vipande vilivyobaki, vikapu kumi na viwili vilivyojaa.+ Luka 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo wote wakala, wakashiba, na ziada waliyokuwa nayo ikaokotwa, vikapu kumi na viwili vya vipande.+ Yohana 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini walipokuwa wameshiba+ akawaambia wanafunzi wake: “Kusanyeni pamoja vipande ambavyo vimebaki, ili chochote kisipotee bure.”
20 Kwa hiyo wote wakala wakashiba, nao wakaokota vipande vilivyobaki, vikapu kumi na viwili vilivyojaa.+
17 Kwa hiyo wote wakala, wakashiba, na ziada waliyokuwa nayo ikaokotwa, vikapu kumi na viwili vya vipande.+
12 Lakini walipokuwa wameshiba+ akawaambia wanafunzi wake: “Kusanyeni pamoja vipande ambavyo vimebaki, ili chochote kisipotee bure.”