Mathayo 9:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na, tazama! mwanamke mwenye kutaabika miaka kumi na miwili kutokana na mtiririko wa damu+ akaja nyuma na kuugusa upindo wa vazi lake la nje;+ Marko 5:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Aliposikia juu ya Yesu, akaja kutoka nyuma katika ule umati na kuligusa+ vazi lake la nje; Luka 8:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 akamkaribia kutoka nyuma akaugusa upindo+ wa vazi lake la nje,+ na mtiririko wake wa damu ukaisha mara moja.+ Matendo 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 hivi kwamba hata nguo na vitambaa vilichukuliwa kutoka katika mwili wake na kupelekwa kwa watu wenye kuugua,+ na magonjwa yakawaacha, na roho waovu wakatoka.+
20 Na, tazama! mwanamke mwenye kutaabika miaka kumi na miwili kutokana na mtiririko wa damu+ akaja nyuma na kuugusa upindo wa vazi lake la nje;+
44 akamkaribia kutoka nyuma akaugusa upindo+ wa vazi lake la nje,+ na mtiririko wake wa damu ukaisha mara moja.+
12 hivi kwamba hata nguo na vitambaa vilichukuliwa kutoka katika mwili wake na kupelekwa kwa watu wenye kuugua,+ na magonjwa yakawaacha, na roho waovu wakatoka.+