Luka 11:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Hata hivyo, vitoeni viwe kama zawadi za rehema+ vitu vilivyo ndani, na, tazama! vitu vingine vyote ni safi kuwahusu ninyi. Matendo 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na sauti ikasema tena naye, mara ya pili: “Wewe acha kuviita najisi+ vitu ambavyo Mungu ametakasa.”
41 Hata hivyo, vitoeni viwe kama zawadi za rehema+ vitu vilivyo ndani, na, tazama! vitu vingine vyote ni safi kuwahusu ninyi.
15 Na sauti ikasema tena naye, mara ya pili: “Wewe acha kuviita najisi+ vitu ambavyo Mungu ametakasa.”