Luka 4:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Baada ya kutoka katika sinagogi akaingia katika nyumba ya Simoni. Basi mama-mkwe wa Simoni alikuwa akitaabishwa na homa kali, nao wakamwomba Yesu kwa ajili yake.+
38 Baada ya kutoka katika sinagogi akaingia katika nyumba ya Simoni. Basi mama-mkwe wa Simoni alikuwa akitaabishwa na homa kali, nao wakamwomba Yesu kwa ajili yake.+