Mathayo 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo akawaagiza wanafunzi kwa kusisitiza wasimwambie yeyote kwamba yeye ni Kristo.+ Marko 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Walipokuwa wakishuka kutoka kwenye ule mlima, akawaagiza waziwazi wasimsimulie+ mtu yeyote kile walichoona, mpaka baada ya Mwana wa binadamu kufufuka kutoka kwa wafu.+ Luka 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo akawaagiza kwa kusisitiza wasimwambie mtu yeyote jambo hilo,+
9 Walipokuwa wakishuka kutoka kwenye ule mlima, akawaagiza waziwazi wasimsimulie+ mtu yeyote kile walichoona, mpaka baada ya Mwana wa binadamu kufufuka kutoka kwa wafu.+