Mathayo 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Walipoinua macho yao, hawakumwona yeyote ila Yesu mwenyewe tu.+ Luka 9:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na ile sauti ilipokuwa ikitokea Yesu alionekana akiwa peke yake.+ Lakini wakaendelea kukaa kimya nao hawakumwambia yeyote siku hizo lolote kati ya mambo waliyoona.+
36 Na ile sauti ilipokuwa ikitokea Yesu alionekana akiwa peke yake.+ Lakini wakaendelea kukaa kimya nao hawakumwambia yeyote siku hizo lolote kati ya mambo waliyoona.+