Luka 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sasa mitume wakamwambia Bwana: “Tupe imani zaidi.”+ Waefeso 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, kwa kweli, ninyi mmeokolewa kupitia imani;+ na hiyo si kutokana na ninyi,+ ni zawadi ya Mungu.+ Waebrania 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 huku tukimtazama kwa makini Wakili Mkuu+ na Mkamilishaji wa imani yetu,+ Yesu. Kwa ajili ya shangwe iliyowekwa mbele yake, yeye alivumilia+ mti wa mateso, akaidharau aibu, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Mungu.+
8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, kwa kweli, ninyi mmeokolewa kupitia imani;+ na hiyo si kutokana na ninyi,+ ni zawadi ya Mungu.+
2 huku tukimtazama kwa makini Wakili Mkuu+ na Mkamilishaji wa imani yetu,+ Yesu. Kwa ajili ya shangwe iliyowekwa mbele yake, yeye alivumilia+ mti wa mateso, akaidharau aibu, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Mungu.+