Mathayo 12:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Yeye asiyekuwa upande wangu ananipinga, naye asiyekusanya pamoja nami anatawanya.+ Luka 9:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Lakini Yesu akamwambia: “Msijaribu kumzuia, kwa maana yule ambaye hayuko kinyume chenu yuko upande wenu.”+ Luka 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule ambaye hayuko upande wangu ananipinga, na yule ambaye hakusanyi pamoja nami anatawanya.+
50 Lakini Yesu akamwambia: “Msijaribu kumzuia, kwa maana yule ambaye hayuko kinyume chenu yuko upande wenu.”+