Marko 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini mara nyingi aliwaagiza kwa kusisitiza wasifanye ajulikane.+ Luka 4:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Roho waovu pia wakawa wakiwatoka wengi,+ wakipaaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini, kwa kuwakemea, hakuwa akiwaruhusu kusema,+ kwa sababu walijua kuwa yeye+ ndiye Kristo.+
41 Roho waovu pia wakawa wakiwatoka wengi,+ wakipaaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini, kwa kuwakemea, hakuwa akiwaruhusu kusema,+ kwa sababu walijua kuwa yeye+ ndiye Kristo.+