Mathayo 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Ninyi ndio chumvi+ ya dunia; lakini chumvi ikipoteza nguvu zake, ladha yake itarudishwaje? Haitumiki tena kwa kitu chochote bali ni ya kutupwa nje+ ili ikanyagwe-kanyagwe na watu. Luka 14:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Chumvi, kwa hakika, ni nzuri. Lakini ikiwa hata hiyo chumvi inapoteza nguvu zake, itakolezwa kwa kitu gani?+
13 “Ninyi ndio chumvi+ ya dunia; lakini chumvi ikipoteza nguvu zake, ladha yake itarudishwaje? Haitumiki tena kwa kitu chochote bali ni ya kutupwa nje+ ili ikanyagwe-kanyagwe na watu.
34 “Chumvi, kwa hakika, ni nzuri. Lakini ikiwa hata hiyo chumvi inapoteza nguvu zake, itakolezwa kwa kitu gani?+