Mathayo 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na kusema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Msipogeuka na kuwa kama watoto wachanga,+ hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.+ Luka 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mtu yeyote ambaye haupokei ufalme wa Mungu kama mtoto mchanga hataingia kamwe ndani yake.”+
3 na kusema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Msipogeuka na kuwa kama watoto wachanga,+ hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.+
17 Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mtu yeyote ambaye haupokei ufalme wa Mungu kama mtoto mchanga hataingia kamwe ndani yake.”+