Mathayo 10:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Anayempenda baba au mama kuliko mimi hanistahili; naye anayempenda mwana au binti kuliko mimi hanistahili.+ Mathayo 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na kila mtu ambaye ameacha nyumba au ndugu au dada au baba au mama au watoto au mashamba kwa ajili ya jina langu atapokea mara nyingi zaidi naye atarithi uzima wa milele.+ Luka 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna yeyote ambaye ameacha nyumba au mke au ndugu au wazazi au watoto kwa ajili ya ufalme wa Mungu+
37 Anayempenda baba au mama kuliko mimi hanistahili; naye anayempenda mwana au binti kuliko mimi hanistahili.+
29 Na kila mtu ambaye ameacha nyumba au ndugu au dada au baba au mama au watoto au mashamba kwa ajili ya jina langu atapokea mara nyingi zaidi naye atarithi uzima wa milele.+
29 Akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna yeyote ambaye ameacha nyumba au mke au ndugu au wazazi au watoto kwa ajili ya ufalme wa Mungu+