Mathayo 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Tazameni! Tunapanda kwenda Yerusalemu, na Mwana wa binadamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi, nao watamhukumia kifo,+ Luka 18:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndipo akawachukua wale kumi na wawili kando na kuwaambia: “Tazameni! Tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote yaliyoandikwa kupitia manabii+ juu ya Mwana wa binadamu yatatimia.+
18 “Tazameni! Tunapanda kwenda Yerusalemu, na Mwana wa binadamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi, nao watamhukumia kifo,+
31 Ndipo akawachukua wale kumi na wawili kando na kuwaambia: “Tazameni! Tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote yaliyoandikwa kupitia manabii+ juu ya Mwana wa binadamu yatatimia.+