Mathayo 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo mama ya wana wa Zebedayo+ akamkaribia akiwa pamoja na wanawe, akamsujudia na kuomba kitu fulani kutoka kwake.+
20 Ndipo mama ya wana wa Zebedayo+ akamkaribia akiwa pamoja na wanawe, akamsujudia na kuomba kitu fulani kutoka kwake.+