Mathayo 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini Yesu akawaita, akasema: “Mnajua kwamba watawala wa mataifa hupiga ubwana juu yao na wakuu hutumia mamlaka juu yao.+ Luka 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini akawaambia: “Wafalme wa mataifa hupiga ubwana juu yao, na wale walio na mamlaka juu yao huitwa Wafadhili.+ 1 Petro 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 wala si kama kwa kupiga ubwana+ juu ya wale ambao ni urithi wa Mungu,+ bali kuwa vielelezo kwa kundi.+
25 Lakini Yesu akawaita, akasema: “Mnajua kwamba watawala wa mataifa hupiga ubwana juu yao na wakuu hutumia mamlaka juu yao.+
25 Lakini akawaambia: “Wafalme wa mataifa hupiga ubwana juu yao, na wale walio na mamlaka juu yao huitwa Wafadhili.+
3 wala si kama kwa kupiga ubwana+ juu ya wale ambao ni urithi wa Mungu,+ bali kuwa vielelezo kwa kundi.+