Mathayo 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na Yesu akaingia katika hekalu na kuwafukuza wale wote waliokuwa wakiuza na kununua katika hekalu, na kuzipindua meza za wale waliokuwa wakibadili pesa na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.+ Luka 19:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Naye akaingia katika hekalu na kuanza kuwafukuza nje wale waliokuwa wakiuza,+ Yohana 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akakuta hekaluni wale waliokuwa wakiuza ng’ombe na kondoo na njiwa+ na waliokuwa wakivunja pesa wakiwa wameketi.
12 Na Yesu akaingia katika hekalu na kuwafukuza wale wote waliokuwa wakiuza na kununua katika hekalu, na kuzipindua meza za wale waliokuwa wakibadili pesa na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.+
14 Naye akakuta hekaluni wale waliokuwa wakiuza ng’ombe na kondoo na njiwa+ na waliokuwa wakivunja pesa wakiwa wameketi.