7 Makundi yote ya Kedari+—yatakusanywa pamoja kwako. Kondoo-dume wa Nebayothi+—watakuhudumia.+ Wakiwa na kibali watakuja juu ya madhabahu yangu,+ nami nitairembesha nyumba yangu ya urembo.+
11 “Na mataifa mengi yatajiunga na Yehova siku hiyo,+ nao watakuwa watu wangu;+ nami nitakaa katikati yako.” Nawe utajua kwamba Yehova wa majeshi amenituma kwako.+