Methali 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Usimjibu mtu yeyote mjinga kulingana na upumbavu wake, ili wewe nawe usiwe sawa na yeye.+ Mathayo 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Msiwape mbwa kitu kitakatifu,+ wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, ili wasizikanyage-kanyage+ chini ya miguu yao na kugeuka na kuwararua ninyi. Mathayo 21:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa hiyo wakamjibu Yesu, wakasema: “Hatujui.” Yeye naye akawaambia: “Wala mimi siwaambii ninyi ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.+ Luka 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye Yesu akawaambia: “Wala mimi siwaambii ninyi ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.”+
6 “Msiwape mbwa kitu kitakatifu,+ wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, ili wasizikanyage-kanyage+ chini ya miguu yao na kugeuka na kuwararua ninyi.
27 Kwa hiyo wakamjibu Yesu, wakasema: “Hatujui.” Yeye naye akawaambia: “Wala mimi siwaambii ninyi ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.+