Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 26:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Usimjibu mtu yeyote mjinga kulingana na upumbavu wake, ili wewe nawe usiwe sawa na yeye.+

  • Mathayo 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Msiwape mbwa kitu kitakatifu,+ wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, ili wasizikanyage-kanyage+ chini ya miguu yao na kugeuka na kuwararua ninyi.

  • Mathayo 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa hiyo wakamjibu Yesu, wakasema: “Hatujui.” Yeye naye akawaambia: “Wala mimi siwaambii ninyi ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.+

  • Luka 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye Yesu akawaambia: “Wala mimi siwaambii ninyi ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki