Mathayo 21:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Walipomwona mwana wakulima wakasemezana, ‘Huyu ndiye mrithi;+ njooni, acheni tumuue na kuupata urithi wake!’+ Luka 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wakulima walipomwona wakaanza kujadiliana, wakisema, ‘Huyu ndiye mrithi; acheni tumuue, ili urithi uwe wetu.’+
38 Walipomwona mwana wakulima wakasemezana, ‘Huyu ndiye mrithi;+ njooni, acheni tumuue na kuupata urithi wake!’+
14 Wakulima walipomwona wakaanza kujadiliana, wakisema, ‘Huyu ndiye mrithi; acheni tumuue, ili urithi uwe wetu.’+