Mathayo 21:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa hiyo wakamchukua na kumtupa nje ya shamba la mizabibu na kumuua.+ Luka 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo wakamtupa nje+ ya shamba la mizabibu na kumuua.+ Kwa hiyo, mwenye shamba la mizabibu atawafanya nini?+ Waebrania 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo Yesu pia, ili apate kuwatakasa+ watu kwa damu+ yake mwenyewe, aliteseka nje ya lango.+
15 Ndipo wakamtupa nje+ ya shamba la mizabibu na kumuua.+ Kwa hiyo, mwenye shamba la mizabibu atawafanya nini?+