18 Na wakuu wa makuhani na waandishi wakasikia, nao wakaanza kutafuta jinsi ya kumwangamiza;+ kwa maana walikuwa wakimwogopa, kwa maana umati wote sikuzote ulikuwa ukistaajabishwa na mafundisho yake.+
19 Waandishi na wakuu wa makuhani sasa wakatafuta kunyoosha mkono ili wamkamate saa ileile, lakini waliwaogopa watu; kwa maana walifahamu kwamba alisema mfano huo juu yao.+