Mathayo 22:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ikawa vivyo hivyo pia kwa yule wa pili na yule wa tatu, mpaka wote saba.+ Luka 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 na wa tatu, wakamchukua mwanamke huyo. Vivyo hivyo hata wa saba: hawakuacha uzao, bali walikufa mmoja baada ya mwingine.+
31 na wa tatu, wakamchukua mwanamke huyo. Vivyo hivyo hata wa saba: hawakuacha uzao, bali walikufa mmoja baada ya mwingine.+