Mathayo 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo Yesu akasema na umati na wanafunzi wake,+ akisema: Luka 20:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 “Jihadharini na waandishi ambao hutamani kutembea wakiwa wamevaa kanzu nao hupenda salamu katika masoko na viti vya mbele katika masinagogi na mahali penye kuonekana zaidi kwenye milo ya jioni,+
46 “Jihadharini na waandishi ambao hutamani kutembea wakiwa wamevaa kanzu nao hupenda salamu katika masoko na viti vya mbele katika masinagogi na mahali penye kuonekana zaidi kwenye milo ya jioni,+