Mathayo 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na, tazama! wakamletea mtu aliyepooza akiwa amelala juu ya kitanda.+ Alipoona imani yao Yesu akamwambia yule mwenye kupooza: “Jipe moyo, mwanangu; dhambi zako zimesamehewa.”+ Luka 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na, tazama! wanaume waliokuwa wamembeba kitandani mtu aliyekuwa amepooza, nao walikuwa wakitafuta njia ya kumwingiza na kumweka mbele yake.+
2 Na, tazama! wakamletea mtu aliyepooza akiwa amelala juu ya kitanda.+ Alipoona imani yao Yesu akamwambia yule mwenye kupooza: “Jipe moyo, mwanangu; dhambi zako zimesamehewa.”+
18 Na, tazama! wanaume waliokuwa wamembeba kitandani mtu aliyekuwa amepooza, nao walikuwa wakitafuta njia ya kumwingiza na kumweka mbele yake.+