1 Mambo ya Nyakati 29:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na watu wakashangilia kutokana na matoleo yao ya hiari waliyotoa, kwa maana walimtolea Yehova matoleo ya hiari kwa moyo kamili;+ na hata Daudi mfalme akashangilia kwa shangwe kubwa.+ Luka 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 naye akasema: “Ninawaambia ninyi kwa kweli, Mjane huyu, ijapokuwa ni maskini, ametumbukiza ndani zaidi kuliko hao wote.+ 2 Wakorintho 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana.
9 Na watu wakashangilia kutokana na matoleo yao ya hiari waliyotoa, kwa maana walimtolea Yehova matoleo ya hiari kwa moyo kamili;+ na hata Daudi mfalme akashangilia kwa shangwe kubwa.+
3 naye akasema: “Ninawaambia ninyi kwa kweli, Mjane huyu, ijapokuwa ni maskini, ametumbukiza ndani zaidi kuliko hao wote.+
12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana.