Waroma 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ni nani atakayefanya shtaka juu ya waliochaguliwa wa Mungu?+ Mungu Ndiye anayewatangaza kuwa waadilifu.+ Waefeso 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kama vile alivyotuchagua+ katika muungano naye kabla ya kuwekwa msingi+ wa ulimwengu, ili tuwe watakatifu na bila dosari+ mbele zake katika upendo.+
33 Ni nani atakayefanya shtaka juu ya waliochaguliwa wa Mungu?+ Mungu Ndiye anayewatangaza kuwa waadilifu.+
4 kama vile alivyotuchagua+ katika muungano naye kabla ya kuwekwa msingi+ wa ulimwengu, ili tuwe watakatifu na bila dosari+ mbele zake katika upendo.+