18 huku kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendeleza sala kila wakati katika roho.+ Na kwa kusudi hilo endeleeni kukaa macho daima na kuomba dua kwa ajili ya watakatifu wote,
17 Kwa hiyo, ninyi, wapendwa, mkiwa na ujuzi huu wa kimbele,+ jilindeni ili msichukuliwe mbali pamoja nao kwa kosa la watu wanaokaidi sheria, mwanguke kutoka kwenye uimara wenu wenyewe.+