Kumbukumbu la Torati 30:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ikiwa watu wako waliotawanywa watakuwa kwenye mwisho wa mbingu, kutoka huko Yehova Mungu wako atakukusanya na kutoka huko atakuchukua.+ Zekaria 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Haya! Haya! Ikimbieni basi, nchi ya kaskazini,”+ asema Yehova. “Maana nimewatawanya ninyi kotekote kuelekea pepo nne za mbingu,”+ asema Yehova. Mathayo 24:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na mvumo mkubwa wa tarumbeta,+ nao watawakusanya pamoja watu wake waliochaguliwa+ kutoka kwenye zile pepo nne,+ kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho wake mwingine.
4 Ikiwa watu wako waliotawanywa watakuwa kwenye mwisho wa mbingu, kutoka huko Yehova Mungu wako atakukusanya na kutoka huko atakuchukua.+
6 “Haya! Haya! Ikimbieni basi, nchi ya kaskazini,”+ asema Yehova. “Maana nimewatawanya ninyi kotekote kuelekea pepo nne za mbingu,”+ asema Yehova.
31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na mvumo mkubwa wa tarumbeta,+ nao watawakusanya pamoja watu wake waliochaguliwa+ kutoka kwenye zile pepo nne,+ kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho wake mwingine.