Mathayo 24:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Basi jifunzeni jambo hili kutokana na mtini kama mfano: Mara tu tawi lake changa linapokuwa jororo na kutoa majani, mnajua kwamba kiangazi kiko karibu.+ Luka 21:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ndipo akawaambia mfano: “Angalieni mtini na miti mingine yote:+
32 “Basi jifunzeni jambo hili kutokana na mtini kama mfano: Mara tu tawi lake changa linapokuwa jororo na kutoa majani, mnajua kwamba kiangazi kiko karibu.+