Mathayo 26:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo mmoja wa wale kumi na wawili, anayeitwa Yuda Iskariote,+ akaenda kwa wakuu wa makuhani Luka 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 naye akaenda zake akaongea na wakuu wa makuhani na makapteni wa hekalu juu ya njia bora ya kumsaliti kwao.+
4 naye akaenda zake akaongea na wakuu wa makuhani na makapteni wa hekalu juu ya njia bora ya kumsaliti kwao.+