Methali 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Je, kimbelembele kimekuja? Basi aibu itakuja;+ lakini wenye kiasi wana hekima.+ Mathayo 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini Petro akajibu, akamwambia: “Ijapokuwa wengine wote wakwazike kuhusiana nawe, mimi sitakwazika kamwe!”+ Luka 22:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo akamwambia: “Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani na pia katika kifo.”+ Yohana 13:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Petro akamwambia: “Bwana, kwa nini siwezi kukufuata sasa? Nitatoa nafsi yangu kwa ajili yako.”+
33 Lakini Petro akajibu, akamwambia: “Ijapokuwa wengine wote wakwazike kuhusiana nawe, mimi sitakwazika kamwe!”+