Mathayo 26:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndipo Yesu akaja pamoja nao mpaka mahali+ panapoitwa Gethsemane, naye akawaambia wanafunzi: “Ketini hapa ninapoenda pale na kusali.”+ Luka 22:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Alipotoka nje kama ilivyo desturi alienda kwenye Mlima wa Mizeituni; na wanafunzi pia wakamfuata.+ Yohana 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Akiisha kusema mambo hayo, Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake ng’ambo ya mto wa majira ya baridi kali wa Kidroni+ mpaka mahali palipokuwa na bustani, na yeye na wanafunzi wake wakaingia ndani yake.+
36 Ndipo Yesu akaja pamoja nao mpaka mahali+ panapoitwa Gethsemane, naye akawaambia wanafunzi: “Ketini hapa ninapoenda pale na kusali.”+
39 Alipotoka nje kama ilivyo desturi alienda kwenye Mlima wa Mizeituni; na wanafunzi pia wakamfuata.+
18 Akiisha kusema mambo hayo, Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake ng’ambo ya mto wa majira ya baridi kali wa Kidroni+ mpaka mahali palipokuwa na bustani, na yeye na wanafunzi wake wakaingia ndani yake.+