Mathayo 26:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Simameni, twende. Tazama! Msaliti wangu amekaribia.”+ Yohana 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi Yuda pia, msaliti wake, alipajua mahali hapo, kwa sababu nyakati nyingi Yesu alikuwa amekutana hapo pamoja na wanafunzi wake.+
2 Basi Yuda pia, msaliti wake, alipajua mahali hapo, kwa sababu nyakati nyingi Yesu alikuwa amekutana hapo pamoja na wanafunzi wake.+