Mathayo 26:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Lakini Yesu+ akamwambia: “Mwenzangu, uko hapa kwa kusudi gani?” Ndipo wakaja wakaweka mikono juu ya Yesu na kumkamata.+ Luka 22:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Wale waliokuwa kandokando yake walipoona jambo lililokuwa karibu kutukia, wakasema: “Bwana, je, tupige kwa upanga?”+
50 Lakini Yesu+ akamwambia: “Mwenzangu, uko hapa kwa kusudi gani?” Ndipo wakaja wakaweka mikono juu ya Yesu na kumkamata.+
49 Wale waliokuwa kandokando yake walipoona jambo lililokuwa karibu kutukia, wakasema: “Bwana, je, tupige kwa upanga?”+