Kutoka 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Usishuhudie kwa uwongo ukiwa shahidi dhidi ya mwenzako.+ Kumbukumbu la Torati 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ikiwa shahidi anayepanga hila ya jeuri atainuka juu ya mtu na kuleta shtaka la maasi juu yake,+ Zaburi 35:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mashahidi wenye jeuri husimama;+Huniuliza mambo nisiyojua.+ Methali 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Shahidi wa uwongo hatakosa adhabu,+ naye anayesema uwongo hataponyoka.+