10 Baadaye, huku akiwa ameketi mezani katika nyumba,+ tazama! wakusanya-kodi wengi na watenda-dhambi wakaja na kuanza kuketi pamoja na Yesu na wanafunzi wake.
29 Pia, Lawi akamwandalia karamu kubwa ya kumkaribisha nyumbani kwake; na kulikuwa na umati mkubwa wa wakusanya-kodi na wengine waliokuwa pamoja nao wakiwa wameketi kwenye mlo.+