73 Baada ya muda kidogo wale waliokuwa wamesimama kuzunguka wakaja na kumwambia Petro: “Hakika wewe pia ni mmoja wao, kwa maana, kwa kweli, matamshi yako yanakutambulisha wazi.”+
59 Na baada ya karibu muda wa saa moja kupita mtu mwingine akaanza kusisitiza kwa nguvu: “Kwa hakika mtu huyu pia alikuwa pamoja naye; kwa maana, kwa kweli, yeye ni Mgalilaya!”+
26 Mmoja wa watumwa wa kuhani mkuu, akiwa ni jamaa ya mtu ambaye Petro alikata sikio lake,+ akasema: “Mimi nilikuona katika bustani pamoja naye, sivyo?”