Zaburi 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+ Yohana 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo Pilato akaingia tena ndani ya jumba la gavana naye akamwita Yesu na kumwambia: “Je, wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”+
2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+
33 Kwa hiyo Pilato akaingia tena ndani ya jumba la gavana naye akamwita Yesu na kumwambia: “Je, wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”+