Mathayo 27:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa sababu hiyo walipokuwa wamekusanywa pamoja Pilato akawaambia: “Mnataka niwafungulie nani, Baraba au Yesu anayeitwa Kristo?”+ Luka 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo nitamwadhibu+ na kumfungua.”
17 Kwa sababu hiyo walipokuwa wamekusanywa pamoja Pilato akawaambia: “Mnataka niwafungulie nani, Baraba au Yesu anayeitwa Kristo?”+