Methali 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+ Mathayo 21:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Walipomwona mwana wakulima wakasemezana, ‘Huyu ndiye mrithi;+ njooni, acheni tumuue na kuupata urithi wake!’+ Matendo 13:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Wayahudi walipoona umati, walijawa na wivu+ na kuanza kuyapinga kwa kukufuru mambo yaliyokuwa yakisemwa na Paulo.+
38 Walipomwona mwana wakulima wakasemezana, ‘Huyu ndiye mrithi;+ njooni, acheni tumuue na kuupata urithi wake!’+
45 Wayahudi walipoona umati, walijawa na wivu+ na kuanza kuyapinga kwa kukufuru mambo yaliyokuwa yakisemwa na Paulo.+