Mathayo 27:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Pilato akawaambia: “Basi, nitafanya nini na Yesu anayeitwa Kristo?” Wote wakasema: “Atundikwe mtini!”+ Luka 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tena Pilato akawapaazia sauti, kwa sababu alitaka kumfungua Yesu.+
22 Pilato akawaambia: “Basi, nitafanya nini na Yesu anayeitwa Kristo?” Wote wakasema: “Atundikwe mtini!”+